Mama Kikwete alitoa wito huo wakati akiongea na wananchi wa wilaya ya Mbarali katika zoezi la kukabidhi msaada wa vifaa mbalimbali vya afya katika Hospitali ya wilaya hiyo.
Mama Kikwete amewataka wakina mama wampigie au kutuma ujumbe mfupi ikiwa watapata manyanyaso kutoka kwa waume zao baada ya zoezi la kupima afya kwa kupitia simu yake ya mkononi ambayo ni 0754-294450. Kwa taarifa zaidi tembelea mtandao wa Wama.


0 comments:
Post a Comment