Saturday, 4 July 2009

Sarah Palin resigns

Alaska Governor and 2008 Republican Party running mate Sarah Palin has announced that she will resign at the end of the month.

Speculations are rife that she is preparing herself for the 2012 presidential race.
The Republican Party has lost the majority status in both the Congress and the Senate. The party is currently plagued by lack of clear policies and weak leadership.

Should she choose to run, it will be an uphill task. She has a lot to learn about ABCs of local and international politics and economy matters.

Picture: AP

2 comments:

Bowler said...

To quote another major Republican politician/movie star: "She'll be back."

Mzee wa Changamoto said...

Huyu uamuzi aliouchukua unatatanisha. Kisiasa sidhani kama angestahili kufanya hivi. Hana uzoefu wa uongozi na wakati wa kampeni aliulizwa swali la namna atakavyoweza kulitumikia taifa na mwanaye mwenye matatizo ya ubongo, lakini akasema ataweza kumudu. Sasa miezi tisa baada ya kushindwa uchaguzi anasema anahitaji muda wa ziada na familia yake pamoja na mambo mengine. Sina hakika kama ataweza kugombea mwaka 2012 kwa kuwa maswali aliyoanzisha sasa ni mengi kuliko majibu. Atapata wapi uzoefu wa kuliongoza taifa kama uongozi pekee alionao ni huu wa nusu muhula wa u-Gavana ambao ameukimbia? Sina hakika kama kuna watakaompa nafasi hiyo maana huo utakuwa mteremko kwa Democrat.
Lakini pia kuna tetesi kuwa kuna kashfa ambayo inataraji kuanza kufanyiwa uchunguzi na inamhusu yeye na yawezekana ameamua kukaa pembeni kabla hajachafuliwa nayo. Lakini kama nilivyosema, ni TETESI.
Yote juu ya yote, amejiwekea kikwazo kikubwa kwa maisha ya kisiasa kwa kuwa watu sasa wanajiuliza kama angekuwa ameachiwa nchi angefanyaje? Angeongoza ilmradi amalize kipindi chake ama angekimbia uongozi kama alivyofanya kwenye Ugavana?