Saturday, 21 June 2008

World's Ugliest Dog Contest


Some of the entrants of the ugliest dog contest

2 comments:

Subi said...

Huyu mbwa wa pili nikimwona kwa mbali tu nitaanza kukemea mapepo yote yamtoke ama kusali sala ya mwisho. Dk Faustine isije ikawa uwaonesha wanao hawa mbwa, wakipatwa na mawenge tutajua sababu yake.

Anonymous said...

Martha akigoma kula tu mtishie mwaya utaona mwenyewe anafyata mkia! Aisee nilidhani Bull dogs ndo mbwa wabaya duniani kumbe nao wamo!
Kundi