Thursday, 12 November 2009

Kipindupindu charejea Dar

Muuguzi wa hospitali ya wilaya ya Temeke, Mama Shayo Kessy (kulia) akiangalia maendeleo ya mgonjwa wa kipindupindu, Erick Edward, Mkazi wa Keko Machungwa, Dar es Salaam aliyelazwa hospitalini hapo baada ya kuugua ugonjwa huo jana. Jumla ya wagonjwa 6 kati ya 14 waliolazwa hospitalini hapo wamesharuhusiwa.
Pichani chini: Wanafunzi wa Shule ya Msingi wakijipatia mihogo ya kukaanga na kachori baada ya mapumziko ya vipindi vya masomo katika maeneo ya Kigogo Mburahati, Dar es Salaam jana
(Picha: Fadhil Akida).Mtazamo wangu: Kipindupindu kitaendelea kuwepo katika Jiji la Dar es Salaam kwa muda mrefu ujao. Hii inatokana na kutowepo huduma nzuri ya maji safi, makazi mengi yenye vyoo visivyo na ubora au kutokuwa na vyoo kabisa. Aidha, biashara ya vyakula bila kuzingatia misingi ya afya nayo imeshamiri.

Kikwete akiwa Egypt-2

Rais Jakaya Kikwete (kushoto) akimsikiliza Mwenyekiti wa Kampuni ya Magrabi inayojishughulisha na masuala ya kilimo, Sherif Maghraby juu ya bidhaa mbalimbali za kilimo anazozalisha na kuzisindika tayari kwa kusafirisha nje. Rais Kikwete alitembelea kampuni hiyo jana iliyopo Nobaria Kaskazini mwa mji wa Cairo, Misri (Picha: Ikulu).

Mtazamo wangu: Kilimo Kwanza imeanza kuonekana kuwa ilikuwa ni janja ya utafutaji wa pesa kwa wajanja wachache. Tenda ya ununuzi wa matrekta imetolewa kinyemela bila kutangazwa. Aliyekabidhiwa tenda hiyo JKT, nao wakaomba "msaada" kwa Jeetu Patel, mtuhumiwa kwa kesi ya ufisadi, ambaye ndiye ataagiza vifaa vya kilimo toka India.
Kwa mwendo huu, mapinduzi ya kilimo kama yaliyotokea kwa majirani zetu Malawi yataendelea kuwa ndoto.

Jijini Dar

Askari Jiji akifunga tairi kwa kufuli la gari lililoegeshwa kimakosa Jijini (Picha: Mroki).
Mkazi wa Jiji akichanja mbuga mitaa ya kati huku akiwa amebeba mbuzi (Fadhil Akida).

Wednesday, 11 November 2009

Mdau in Ukhahlamba, Eastern Cape Province

Yesterday I traveled to Eastern Cape Province. My colleagues and I flew to Bloemfontein in the Free State Province and drove about 300 kilometres to Eastern Cape. This is a picture of central Aliwal North in Ukhahlamba.
A church in Central Aliwal North.
The farmland where I spent the night. The facility is called Saddle Down Lodge. Visit their website for more info.
..The guest rooms. I was very impressed with simple design of room which very clean and comfortable. The meals were also very good. Unlike other hotel foods which are made in bulk, the meals here were tailor-made and very fresh.
..The room that I spent the night. The room had all the amenities and I must say I had a good night sleep. I would certainly recommend this lodge to all those who want peace and quite away from the concrete jungles.

This morning we are on the road again, traveling another 300 kms to East London. More when I get there.

Wawekezaji toka Uswisi

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha uwekezaji nchini (TIC) Emmanuel Ole Naiko akiangalia bidhaa ya tumbaku inayozalishwa na kiwanda cha Tumbaku cha Tanzania Leaf Tobaco cha mjini Morogoro alipotembelea banda la kampuni hiyo katika maonyesho ya siku ya Uswisi nchini yaliyofanyika Dar es Salaam jana.

Wawekezaji wa Urusi

Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko, Mary Nagu,(katikati) akiongea jambo na Balozi wa Tanzania nchini Urusi, Jaka Mwambi (kushoto) na Mkurugenzi Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa wa Wenye Viwanda na Biashara wa Nchini Russia, Sergey Vasiliev katika mkutano wa wawekezaji kutoka nchini huko uliofanyika Jijini Dar es Salaam jana (Picha: Yusuph Badi).

Tuesday, 10 November 2009

Samaki wa Magufuli

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, John Magufuli akizungumza na waandishi wa habari jana juu ya ugawaji wa samaki kwa taasisi mbalimbali nchini utakaofanyika hivi karibuni. Kulia ni Katibu Mkuu Wa Wizara hiyo Dr. Charles Nyamrunda (Picha: Mwanakombo Jumaa).

Mtazamo wangu: Hivi kugawa samaki kunahitaji uwepo wa waandishi wa habari?

South African Ambassador bids farewell

President of Zanziabar , Amani Abeid Karume greeting the out going South African High Commissioner to Tanzania Sindiso Mfenyana, who visited the State House to bid farewell after his end of tour of duty (Picture: Ramadhan Omar).

Kikwete meeting Mubarak

President Jakaya Kikwete taliking to President Hosni Mubarak at a side meeting during the China-Africa Cooperation meeting in Cairo, Egypt yesterday( Picture: Ikulu).

My Take: What does this Sino-Africa cooperation helpful to us Tanzanians? What do we want? What measures have we put in place to avoid exploitation?

Out of base

I will be away from the village for a day. I will return tomorrow afternoon. Posts to this blog will be hampered during this travel. Apologies for any inconveniences.

Faustine

Monday, 9 November 2009

New Visa Process for Frequent Travelers

Beginning on November 2, 2009, the U.S. Embassy will waive the interview requirement for frequent travelers (B1/B2 visa). and also for students (F visa) and exchange participants (J visa) who are continuing their studies. Visa applicants who meet the requirements listed below may receive a visa by submitting their applications directly to the U.S. Embassy, without a personal interview. The requirements are as follows:

For B1/B2, F, and J visa categories:
  • the previous visa was issued on or after November 1, 2007;
  • all ten fingerprints were captured at a prior visa interview;
  • the previous visa is valid or has expired within the last twelve months;
  • the applicant is applying for exactly the same type of visa;
  • the previous visa was issued by the U.S. Embassy in Dar es Salaam;
  • the applicant’s name is currently the same as on the previous visa; and
  • the previous visa does not have “clearance received” written on it.
Additionally for F and J visa categories:
  • the applicant must have the same SEVIS number as on the previous visa, and the applicant must submit his/her official transcript.
Visa applications for applicants who meet all of these requirements will be accepted at the Consular Section only on Monday and Wednesday afternoons from 2:00pm to 4:00pm. A courier may submit the applications on behalf of the applicant.

Applicants using this process must complete all necessary forms, submit one photograph, and pay the application fee at Citibank. See the U.S. Embassy website, usembassy.tanzania.gov, for more detailed information on the application process.

If the applicant is qualified, in most cases, the applicants may pick up their passport at the Embassy two days after submission. For example, a successful application submitted on Monday will result in the passport with new visa being ready for pick-up on Wednesday. This new process is a continuation of the U.S. Embassy’s commitment to “secure borders, open doors.”

Please Note: The use of this process does not guarantee visa issuance. In some cases, the Embassy may still require an applicant to appear for an in-person interview, especially if an application is incomplete or inaccurate.

Nyerere remembered in Edinburgh

Former President Ali Hassan Mwinyi arriving in Edinburgh to take part in International High Level conferennce which is due to take from 9th-1th of November. He is escorted by Mdau Emmanuel Tayari (One of the conference organiser and Vice Secretary of TzECA). The meeting has been jointly organised by the Tanzania High Commission, Tanzania Edinburgh Community Association (TzECA) and the University of Edinburgh to remember Mwl. Julius Nyerere legacy.
Mdau Apollo Temu (One of the meeting organiser and Chairman of TzECA) posing for a picture with the Minister of Foreign Affairs and International Relations ,Bernard Membe.

My Take: Congratulation to the wadau and all others organisers for pulling off this event. I wish you fruitful meeting, please remember to share the deliberations of the meeting with us.

JULIUS .K. NYERERE UNSUNG HERO OF AFRICA WHO MADE NELSON MANDELA‏

Edinburgh, UK --Today the world knows a lot about President Nelson Mandela but seemingly conveniently always forgetting that Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, a late Tanzanian President was a man behind Mandela Success. Without Nyerere effort's we probably would have had the Mandela's success story as we have it today, as presented to the world. Let me walk you down the history lane to refresh our recollection. In 1959 Mwalimu Nyerere together with Archbishop Trevor Huddleston, founded the Anti-Apartheid Movement in Britain. In 1980s during the campaign for South Africa Nuclear Disarmament, the movement had individual membership of 6,000 people, and attracted 700 organizations, including the Labour, Liberal and Social Democratic parties affiliated. These together represented more than 18 million people. This implies that whatever success Mandela is afforded it was because of Mwalimu Nyerere's high involvement which made it happen. In sum Tanzania could have had a better economy today if it did not accept sacrifices in building the future and freedom fighting for the region of southern Africa. Mwalimu Nyerere was true to his principles and his vision. He empowered ANC and Mandela. At the end, his vision of a liberated Africa was achieved.

Mwalimu Nyerere's story is one of the best untold stories as far as African politics are concerned. We need to promote his legacy further. Africa needs Nyerere's kind of thinking in Leadership more than Aid for now. Africa needs high quality leadership, and more of a best leadership story like the one of Mwalimu Nyerere. This could be inspirational for young people to offer alternative leadership to Africa. This is crucially important in saving the continent from poverty.

In conclusion, we as Tanzanian Edinburgh Community Association (TzECA) believe that people need to hear more about Mwalimu's legacy. One film recently shown in Edinburgh at Film House - which sold out, do attest to this belief of ours. Think of it, can Nelson Mandela speak more about Nyerere? We think so! In remembering Mwalimu Julius Kambarage Nyerere's legacy, the University of Edinburgh in collaboration with Tanzania High Commission in London along with the Tanzania Edinburgh Community Association(TzECA) have joined forces in organizing an International High Level Conference which will be held from the 9th - 11th November 2009 in Edinburgh, UK.

We as Tanzanians and peace lovers, would be greatly honoured if you will join us by covering these memorable events as we mark and remember the life of this great son of Africa. Your coverage can reflect on his legacy as one of the best African statesman of our time. Spread the word, let his story be heard all over the world.

If you would like more information about this topic or would like to schedule an interview, please get in touch with contact under noted: Mr Emmanuel D. Tayari; Tel: +447594707524; E: etayari@tzeca.org.uk W:

http://www.tzeca.org.uk

Mustakabali wa nchi yetu


Maoni?

Sunday, 8 November 2009

Developing story: Tanzanian representative in BBA is ousted

The Tanzanian presentative in the Big Brother Africa Elizabeth Gupta has been eliminated from the House.

Askofu wa KKKT Dodoma asimikwa

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimpatia zawadi Askofu wa Dayosisi ya Dodoma, Festo Ngowo katika Ibada ya kumsimika Askofu huyo kwenye kanisa kuu la KKKT mjini Dodoma leo (Picha: PMO).

Kikwete in Egypt

President Jakaya Kikwete is in Cairo, Egypt to attend the 4th Forum on China-Africa Cooperation (FOCAC). This meeting is seen by many as a forum by China to expand its diplomatic and economic influence in this resource rich continent (Picture: Ikulu).

Maisha Club yateketea

MOTO umeteketeza klabu maarufu ya burudani jijini Dar es Salaam iitwayo Maisha Club.

Taarifa zilizopatikana kutoka eneo la tukio zinadai kuwa, moto huo ulianza saa nane mchana na kwamba hadi sasa juhudi za kuuzima zinaendelea.

Klabu hiyo inayomilikiwa na Hellen Sweya iliyopo maeneo ya Oysterbay , jijini Dar es Salaam zamani ilifahamika kwa jina la Mambo Club.

Habari zaidi zinasema inasemekana chanzo cha ajali hiyo ni hitilafu ya umeme.

Kamanda wa Polisi, Kanda maalum ya Dar es Salaam Suleiman Kova alithibitisha kutokea kwa tukio hilo, hata hivyo alisema habari zaidi atazitoa Kamanda wa Polisi, mkoa wa Kinondoni Mark Karunguyeye ambaye yuko eneo la tukio.

Habari: Habari Leo; Picha zaidi: Tembelea http://mrokim.blogspot.com/

Ukipigwa au kuachwa baada ya kupima wasiliana na Mama Kikwete

Leo nimekumbuka kupitia mtandao wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) inayoongozwa na Mama Salma Kikwete nikakutana na taarifa inayowataka wanawake watakaopigwa na waume zao au kupewa talaka kutokana na kitendo cha kwenda kupima virusi vya Ugonjwa wa UKIMWI wampe taarifa ili aweze kuchukua hatua na kulishughulikia tatizo hilo.

Mama Kikwete alitoa wito huo wakati akiongea na wananchi wa wilaya ya Mbarali katika zoezi la kukabidhi msaada wa vifaa mbalimbali vya afya katika Hospitali ya wilaya hiyo.

Mama Kikwete amewataka wakina mama wampigie au kutuma ujumbe mfupi ikiwa watapata manyanyaso kutoka kwa waume zao baada ya zoezi la kupima afya kwa kupitia simu yake ya mkononi ambayo ni 0754-294450. Kwa taarifa zaidi tembelea mtandao wa Wama.

Saturday, 7 November 2009

An allergy to a husband semen

A newly wed wife in the US got a shock of her life when she discovered that she is allergic to her husband sperm.
Prior to marriage Julie Boyde and her husband Mike used condoms during sex. When they tried unprotected sex after marriage, her body rejected the semen, causing severe bodily pain. When she sought medical advice she was found to be suffering from seminal plasma hypersensitivity, a condition that a body recognizes semen as foreign protein and destroy them.
It seems this unfortunate couple will never get to enjoy natural sex. Click here to read more.